Tanzania yapiga marufuku uvutaji shisha
Tanzania yapiga marufuku uvutaji shisha

Serikali ya Tanzania imepiga marufuku uvutaji wa shisha nchini humo na kulitaka jeshi la polisi kufanya kila juhudi kutokomeza uraibu huo.

Soma zaidi »

 Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola Aionya Jamhuri Kumsotesha Mahakamani Kwa Kesi ya Rushwa
Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola Aionya Jamhuri Kumsotesha Mahakamani Kwa Kesi ya Rushwa

KANGI Lugala, Mbunge wa Mwibara ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutoa onyo kwa Jamhuri kwa kukwamisha kuwasomea maelezo ya awa...

Soma zaidi »

Kitwanga Azungumzia Sakata la Kutumbuliwa Kwake na Rais Magufuli
Kitwanga Azungumzia Sakata la Kutumbuliwa Kwake na Rais Magufuli

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na Mbunge wa jimbo la Misungwi, Charles Kitwanga (CCM) amezungumzia jinsi alivyopokea kutu...

Soma zaidi »

HAKUNA EBOLA SHINYANGA,MGANGA MKUU ASISITIZA
HAKUNA EBOLA SHINYANGA,MGANGA MKUU ASISITIZA

Mganga mkuu wa mkoa wa Shinyanga Dkt Ntuli Kapologwe akizungumza na waandishi habari juu ya uvumi wa kuwepo kwa ugonjwa wa Ebola mkoani Sh...

Soma zaidi »

MKUU WA POLISI AUAWA
MKUU WA POLISI AUAWA

Kanali Muhammad Suwaysi aliteuliwa kama mkuu wa polisi mjini Tripoli mwaka 2012 Mkuu wa polisi katika mji mkuu wa Libya Tripoli, ameu...

Soma zaidi »

EBOLA YATIKISA BARA LA AFRIKA
EBOLA YATIKISA BARA LA AFRIKA

WHO imeruhusu dawa ya Zmapp kutumika kuzuia kuenea kwa Ebola nchini Liberia Jopo la wataalam wa shirika la afya duniani WHO limeamua ...

Soma zaidi »

MADAKTARI WAUNDA MASIKIO BANDIO KUTOKA UBAVUNI
MADAKTARI WAUNDA MASIKIO BANDIO KUTOKA UBAVUNI

Madaktari waunda masikio toka ubavuni mwa kijana mwenye miaka 9 Madaktari nchini Uingereza wameumba masikio kutokana na ubavu wa kija...

Soma zaidi »

MAGAZETI YA LEO JUMANNE TAREHE 12.08.2014
MAGAZETI YA LEO JUMANNE TAREHE 12.08.2014

       

Soma zaidi »

MAGAZETI YA LEO JUMATANO JULAI 23,2014
MAGAZETI YA LEO JUMATANO JULAI 23,2014

Soma zaidi »

Pata tukio la ajari ya basi la Najmunisa katika Video
Pata tukio la ajari ya basi la Najmunisa katika Video

Watu 63 wamenusurika katika ajari ya basi la kampuni ya Najmunisa lililopinduka jumatatu wiki hii kwenye eneo la Usanda wilayani Shin...

Soma zaidi »

Kaimu mkuu wa usalama barabarani akikagua tukio
Kaimu mkuu wa usalama barabarani akikagua tukio

Kaimu mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Shinyanga lnsp Msami akikagua ajari Msami alisema ajari hiyo pia imechangiwa na mwend...

Soma zaidi »

Majeruhi akiongezewa maji
Majeruhi akiongezewa maji

Wataalamu wa wakiendelea kutoa huduma ya tiba kwa waanga wa ajari ya basi la Najmunisa eneo la tukio

Soma zaidi »

Vilio katika eneo la Usanda
Vilio katika eneo la Usanda

Majeruhi wakiwa tabani baada ya kupata maumivu sehemu mbalimbali za mili yao na hapa wanapatiwa matibabu

Soma zaidi »

Majeruhi wa ajari ya basi la Najmunisa akipatiwa huduma ya kwanza katika eneo la tukio
Majeruhi wa ajari ya basi la Najmunisa akipatiwa huduma ya kwanza katika eneo la tukio

Huduma ya kwanza kwa majeruhi wa ajari ya Najmunisa kabla ya kufikishwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Shinyanga kwa matibabu zaidi

Soma zaidi »

Pata picha za ajari ya basi la Najmunisa lililopata ajari mkoani Shinyanga jumatatu wiki hii
Pata picha za ajari ya basi la Najmunisa lililopata ajari mkoani Shinyanga jumatatu wiki hii

Umati mkubwa wa watu wakiwa wamekusanyika kwenye ajari ya basi la Najmunisa ambalo limejeruhi abiria 47

Soma zaidi »

Watu 63 wanusulika kufa katika ajari ya Basi la Kampuni ya Najmunisa
Watu 63 wanusulika kufa katika ajari ya Basi la Kampuni ya Najmunisa

Watu 63 wamenusurika katika ajari ya basi la kampuni ya Najmunisa lililopinduka jumatatu wiki hii kwenye eneo la Usanda wilayani Shin...

Soma zaidi »

WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI WATENGWA NA WAZAZI WAO SHINYANGA
WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI WATENGWA NA WAZAZI WAO SHINYANGA

Wazazi wenye watoto wenye ulemavu wa ngozi Albino kwenye kituo maalum cha Buhangija manspaa ya Shinyanga  wadaiwa kuwatelekeza watoto.kij...

Soma zaidi »
 
Top