Shangwe tupu kwa watoto hawa wa darasa la awali la shule ya msingi Tinde baada ya kufanya vizuri katika sanaa ya uchoraji wa picha mbalimbali na kutoa changamoto kubwa ya kupatiwa elimu na  wazazi wao ambao wamekuwa na tabia ya kuwakatisha masomo kwa ajili ya shughuli za uchungaji wa mifugo mkoa wa Shinyanga ..

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Karibu tena..wasiliana nasi kwa simu namba 0758059936

Chapisha Maoni

 
Top