Baadhi ya watoto wa kike katika darasa la awali la shule ya msingi Didia wakionyesha uwezo wao wa masomo pamoja na kukabiliwa na changamoto ya baadhi ya wazazi kuwakatisha masomo watoto wa kike mkoani Shinyanga kwa madai kwamba uwezo wao wa masomo ni mdogo jambo ambalo linazimisha matumaini ya maisha ya baadae ya watoto wa kike mkoani Shinyanga. |
Chapisha Maoni