Mwili wa marehemu Faida Mayunga aliyekuwa mlemavu wa ngozi Albino aliyefariki sepetemba 12 saa tano asubuhi katika mazingira ya kutatanisha kwenye kituo maalum cha Buhangija manspaa ya Shinyanga kituo ambacho kina kabiliwa na upungufu mkubwa wa chakula
Chapisha Maoni