Katika kituo cha Buhangija manpsaa ya Shinyanga kuna zaidi ya watoto wenye ulemavu wa Ngozi 300 wakiwemo watoto walio chini ya miaka 5 ambao wamekosa upendo wa wazazi wao pamoja na familia kwa muda mrefu.Baada ya kuishi kwenye kituo hicho kufuatia tishio la mauaji ya walemavu wa Ngozi lililoibuka miaka ya hivi karibuni

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Karibu tena..wasiliana nasi kwa simu namba 0758059936

Chapisha Maoni

 
Top