July 30, 2025 04:04:11 PM Menu

Askofu wa kanisa la AICT dayosisi ya Shinyanga John Nkola atoa wito kwa watanzania kuepuka manabii wa uongo wanaodai wanaoteshwa na Mungu kutatua matatizo ya binadamu.Askofu Nkola alitoa wito huo kwenye sherehe  ya miaka 20 ya dayosisi ya Shinyanga alisema kuna baadhi ya watu wanadai wanaoteshwa na Mungu kutatua matatizo ya binadamu wenye shida jambo ambalo sio kweli.
Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Karibu tena..wasiliana nasi kwa simu namba 0758059936

27 Oct 2013

Chapisha Maoni

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top