Kijana huyo mkazi wa Mambali wilayani Nzega mkoani Tabora akielekea mjini Shinyanga kwa ajili ya biashara ya Mkaa.Safari yake utumia zaidi ya masaa 12 ambapo wakati wa usiku upumzika katika mji mdogo wa Tinde mkoani Shinyanga bila ofu yoyote pamoja na kuwepo kwa kiziwizi cha mazao ya maliasili eneo hilo

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Karibu tena..wasiliana nasi kwa simu namba 0758059936

Chapisha Maoni

 
Top