bw Jacob Myanga mkazi wa kijiji cha Mwasungho wilayani Igunga mkoani Tabora ni miongoni mwa wakazi wa kijiji hicho walionufaika na mradi mkubwa wa maji uliojengwa kwa zaidi ya shilingi milioni 391 kwa msaada wa shirika la World Vision kupitia mradi wa maendeleo ya jamii wa choma Adp
Chapisha Maoni