Home
»
»Unlabelled
» BANKI YA ACCESS YAFUNGULIWA KAHAMA YADAIWA NDIO UFUMBUZI WA WAKULIMA NA WAFANYA BIASHARA MASHARIT NAFUU HAKUNA DHAMANA YA HATI KWA MIKOPO MIDOGO
Kushoto ni meneja wa Banki ya Access tawi la kahama bw Cassion Clovis akitoa maelezo kwa mkuu wa wilaya ya Kahama bw Benson Mpesya wakati wa ufunguzi wa banki hiyo ambayo imeelezwa ni ufumbuzi wa wakuliama na wafanya biashara wilayani kahama ambao wataweza kupata mikopo kwa masharit nafuu
Chapisha Maoni