Chama cha watu waliozaa mapacha wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wamemsimika Rais  bw Mdulambuga katika sherehe za kimila zilizofanyika kwenye kata ya Kashishi wilayani Kahama na mgeni rasmi alikuwa mbunge wa jimbo la Msalala wilayani humo bw Ezekiel Maige Sherehe hizo za kukata na shoka  zilipambwa na burudani ya ngoma ya Bakango
Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Karibu tena..wasiliana nasi kwa simu namba 0758059936

Chapisha Maoni

 
Top