Meneja wa CRDB tawi la Shinyanga bw. Saidi Pamui sanjari na Bi,Mariamu Rufunga wakisisitiza umuhimu wa wanawake kupatiwa mikopo kwa lengo la kukuza mitaji katika Biashara zao na kupambana na umasikini miongoni mwa familia na kuondokana na mfumo Dume wa kutengemea wanaume
Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Karibu tena..wasiliana nasi kwa simu namba 0758059936

Chapisha Maoni

 
Top