Watoto wa wili Fabiani Philip miaka 7 na Zawadi Kano miaka 9 wakazi wa kijiji cha Mangu kata ya Salawe wilayani Shinyanga wamelazwa kwenye hospitali ya mkoa huo baada ya kujeruhiwa vibaya na mlipuko.Mama wa watoto hao Pili Madata alisema tukio hilo lilitokea ijumaa asubuhi nyumbani kwake wakati watoto hao wanacheza.
Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Karibu tena..wasiliana nasi kwa simu namba 0758059936

Chapisha Maoni

 
Top