bw Deo Nsokolo mwenyekiti wa kamati ya mafunzo na maadlili ya Utpc akifungua mafunzo ya wajumbe wa kamati za utendaji za vyama vya waandishi wa habari wa mikoa ya Kigoma,Tabora na Shinyanga yaliokuwa yakifanyika mjini Kahama mkoani Shinyanga kwa lengo la kuwajengea uwezo wajumbe wa kamati za utendaji za vyama hivyo.
Chapisha Maoni