MAZINGIRA BORA NA VIFAA NDIO NJIA PEKEE YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI A+ A- Print Email Bi Ethel Mhina akiagana na watoto wanaosoma kwenye darasa la awali la shule ya msingi Didia wilayani Shinyanga baada ya kuwagawia vifaa mbalimbali vya kuboresha masomo yao ikiwa sehemu ya kuboresha elimu na kuwajengea uwezo wa masomo watoto hao. Karibu tena..wasiliana nasi kwa simu namba 0758059936
Chapisha Maoni